https://go.ad2upapp.com/afu.php?id=897810

KWA HABARI ZA KITAIFA KIMATAIFA MICHEZO MUZIKI BURUDANI NA AFYA KILA SIKU

Wednesday, October 19, 2016

Scorpion kufunguliwa shitaka jipya

 http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2016/10/SCORPION1.jpg
MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala mchana huu inatarajia kumfungulia shitaka jipya Salum Henjewele maarufu Scorpion baada ya shitaka la awali la unyang’anyi wa kutumia silaha kufutwa.
Awali Mahakama hiyo ililazimika kufuta shitaka hilo kufuatia maombi yaliyowasilishwa na Mwendesha Mashitaka, Munde Kalombola ambaye aliiomba mahakama hiyo kufutwa kwa shauri hilo mbele ya Hakimu Mkazi Adelf Sachore ambaye aliridhia maombi hayo baada ya upande wa mashtaka kutokuwa na nia ya kuendelea na shauri hilo.
“Kutokana na maombi yaliyowasilishwa na upande wa mashtaka, Mahakama imeliondoa shitaka hili kama ilivyoombwa kupitia kifungu cha 91 kifungu kidogo cha 1,” alisema Hakimu Sachore.
Kifungu hicho cha 91(1) kinampa mamlaka DPP kuliondoa shitaka hilo, Scorpion anatarajiwa kufunguliwa mashitaka mapya mchana huu.
Share:

0 comments:

Post a Comment

Propellerads

UNGANA NA SISI HAPO CHINI

Search This Blog

http://go.ad2upapp.com/afu.php?id=917347

Text Widget

Copyright © SAYARI 360 | Powered by Blogger

//]]>