https://go.ad2upapp.com/afu.php?id=897810

KWA HABARI ZA KITAIFA KIMATAIFA MICHEZO MUZIKI BURUDANI NA AFYA KILA SIKU

Tuesday, October 11, 2016

Rihanna awakejeli wapenzi wake wa zamani

Hitmaker wa wimbo ‘Work’, Rihanna amewakejeli waliokuwa wapenzi wake kupitia ujumbe aliouandioka kwenye mtandao wake wa Instagram.



Rihanna ameandika kwenye mtandao huo ujumbe unaodai kuwa hakuna hata ex-wake mmoja ambaye ameoa au kufurahia mahusiano yake.



Ujumbe huo umeonekana kumlenga moja kwa moja Chris Brown ambaye tangu wameachana tayari ameshakuwa kwenye mahusiano na wanawake kadhaa akiwemo Cydney Christine, Ammika Harris, Amy Shehab, Indya Marie, Blair Pena, na wengine.


Share:

0 comments:

Post a Comment

Propellerads

UNGANA NA SISI HAPO CHINI

Search This Blog

http://go.ad2upapp.com/afu.php?id=917347

Text Widget

Copyright © SAYARI 360 | Powered by Blogger

//]]>