https://go.ad2upapp.com/afu.php?id=897810

KWA HABARI ZA KITAIFA KIMATAIFA MICHEZO MUZIKI BURUDANI NA AFYA KILA SIKU

Tuesday, October 11, 2016

Hii isikupite..Picha ya chumba alicholala mkali Chris Brown Mombasa bei hii hapa


Najua nina watu ambao wanataka kufahamu vingi kutoka kwa Mkali Chris Brown tangu alipowasili Mombasa Kenya, sasa nimefanikiwa kuinasa hii ya bei ya chumba alicholala mkali huyo.
Nilichoambiwa ni kwamba thamani ya shilingi milioni 3,230,700/= za kitanzania ndio bei ya usiku mmoja kwa chumba hicho kwa mteja kupumzika ambacho kimetengwa kwenye VIP yao.

Zitazame hizi baadhi ya picha za muonekano wa chumba hicho alicholala Chris Brown.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
Share:

0 comments:

Post a Comment

Propellerads

UNGANA NA SISI HAPO CHINI

Search This Blog

http://go.ad2upapp.com/afu.php?id=917347

Text Widget

Copyright © SAYARI 360 | Powered by Blogger

//]]>