https://go.ad2upapp.com/afu.php?id=897810

KWA HABARI ZA KITAIFA KIMATAIFA MICHEZO MUZIKI BURUDANI NA AFYA KILA SIKU

Sunday, October 9, 2016

Askofu Amani alia na utoaji mimba



Askofu wa Jimbo la Moshi, Isaac Amani.
Askofu wa Jimbo la Moshi, Isaac Amani. 

Moshi.  Askofu wa Jimbo la Moshi, Isaac Amani amewataka wazazi kuacha kufanya mauaji kwa kutoa wanafunzi mimba pamoja  na wao wenyewe na kwamba hali hiyo ni ukatili uliokithiri wa kuua watu na kuangamiza Taifa. 
Askofu ameyasema hayo leo kwenye ibada takatifu ya kuwaombea wanafunzi wa kidato cha nne wanaotarajia kufanya mitihani yao mwanzoni mwa Novemba mwaka  huu iliyoenda sambamba na Jubilee ya miaka 25 ya shule  ya sekondari  Sangiti, Kibosho mkoani Kilmanjaro.
Amesema kutoa mimba ni kuua uumbaji wa Mungu aliyetoa zawadi kwa mwanadamu na kwamba wanawake  wakifanya mauaji hayo ambayo  yamekithiri  kwa kasi nchini kwa kutumia maneno  ambayo yanamchukiza mwenyezi Mungu kwa uumbaji wake.

mwananchi.co.tz
Share:

0 comments:

Post a Comment

Propellerads

UNGANA NA SISI HAPO CHINI

Search This Blog

http://go.ad2upapp.com/afu.php?id=917347

Text Widget

Copyright © SAYARI 360 | Powered by Blogger

//]]>