https://go.ad2upapp.com/afu.php?id=897810

KWA HABARI ZA KITAIFA KIMATAIFA MICHEZO MUZIKI BURUDANI NA AFYA KILA SIKU

Friday, December 9, 2016

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya Disemba 10


Share:

VANESSA MDEE KUIGIZA TAMTHILIA YA MTV BASE

img_5397
Share:

BEKI WA CHAPECOENSE APATA NAFUU NCHINI COLOMBIA

3b26493d00000578-0-image-a-41_1481144635458
Share:

JINSI MTANDAO WA YOU TUBE ULIVYOWAINGIZIA WATU HAWA MAMILIONI YA PESA

Image result for youtube logo
Share:

Thursday, December 8, 2016

Rais Magufuli kuandika historia miaka 55 ya Uhuru


Image result for uhuru torch
RAIS John Magufuli leo anatarajiwa kuongoza Watanzania katika kilele cha maadhimisho ya Miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania Bara, yatakayofanyika kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam, ikiwa ni mara yake ya kwanza kushiriki sherehe hizo.
Share:

Wanaume 45 wadai kupigwa na wake zao


WANAUME 45 walio kwenye ndoa wilayani Nkasi katika Mkoa wa Rukwa wamevunja ukimya wakidai kupigwa na kutelekezwa na wenzi wao, imebainika.
Hayo yalibainishwa na Mkuu wa Polisi Dawati la Jinsia na Watoto wilayani Nkasi, Anna Kisima katika kikao kilichoandaliwa na shirika lisilo la kiserikali la Plan International Tanzania kupitia mradi wake wa kuzuia ndoa za utotoni, kilichoketi jana mjini Namanyere.
Share:

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Ijumaa ya Disemba 9


Share:
Propellerads

UNGANA NA SISI HAPO CHINI

Search This Blog

http://go.ad2upapp.com/afu.php?id=917347

Text Widget

Copyright © SAYARI 360 | Powered by Blogger

//]]>